Maswali tegemezi.

Ibrahimovic

Member
Mar 23, 2011
39
7
(a)utamuwekaje twiga ndani ya jokofu(fridge)? (b)utamuwekaje tembo kwenye jokofu? (c)kulikuwa na mkutano na wanyama wote walishiriki kasoro mmoja,we unadhani ni yupi hakuwepo mkutanoni? (d)Mama alikuwa na mwanae mgonjwa anampeleka hosipitali,lakini ili afike hospitalini inambidi avuke mto na huo mto una mamba wengi wakali,je atanyaje ili avuke mto na mtoto yuko mahututi? ANGALIZO;majibu ya maswali haya yanategemeana na yapo kimtiririko.
 
(a) Utafungua jokofu na kumweka twiga humo. (b) Utamtoa twiga kutoka kwenye jokofu kisha utamweka tembo. (c) Tembo hayuko kwenye mkutano, si ulimweka kwenye jokofu!? (d) Avuke tu ampeleke mwanae hospitali, mto uko salama, mamba wote wako kwenye mkutano!
 
(a) Utafungua jokofu na kumweka twiga humo. (b) Utamtoa twiga kutoka kwenye jokofu kisha utamweka tembo. (c) Tembo hayuko kwenye mkutano, si ulimweka kwenye jokofu!? (d) Avuke tu ampeleke mwanae hospitali, mto uko salama, mamba wote wako kwenye mkutano!
yeah, you did it, congratulations!
 
(a) Utafungua jokofu na kumweka twiga humo. (b) Utamtoa twiga kutoka kwenye jokofu kisha utamweka tembo. (c) Tembo hayuko kwenye mkutano, si ulimweka kwenye jokofu!? (d) Avuke tu ampeleke mwanae hospitali, mto uko salama, mamba wote wako kwenye mkutano!

Mkuu hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom