Ibrahimovic
Member
- Mar 23, 2011
- 39
- 7
(a)utamuwekaje twiga ndani ya jokofu(fridge)? (b)utamuwekaje tembo kwenye jokofu? (c)kulikuwa na mkutano na wanyama wote walishiriki kasoro mmoja,we unadhani ni yupi hakuwepo mkutanoni? (d)Mama alikuwa na mwanae mgonjwa anampeleka hosipitali,lakini ili afike hospitalini inambidi avuke mto na huo mto una mamba wengi wakali,je atanyaje ili avuke mto na mtoto yuko mahututi? ANGALIZO;majibu ya maswali haya yanategemeana na yapo kimtiririko.