Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Nazisoma,sehemu mbalimbali,hoja za kutaka Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi. Wajengahoja wanadai kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ya sasa si huru kutokana na muundo wake;mtindo wake na utendaji kazi wake. Kubwa ni kuwafanya Wakurugenzi na wateule wengine wa Rais au Waziri kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Sina haja ya kubishia ukweli kuwa Tume huru ya Uchaguzi ni muhimu. Tume huru hulinda demokrasia kwa kuwafanikishia wapigakura kuwachagua viongozi wawatakao. Tume huru inalinda thamani ya kura na mchakato mzima wa kiuchaguzi. Kwahiyo,naunga mkono uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi.
Kwa mfumo na hali ya kisiasa iliyopo hapa nchini mwetu Tanzania,Tume hii itapatikanaje? Wajumbe na wafanyakazi wake wapatikanaje? Utendaji wake uwaje? Iwe na Wajumbe na wafanyakazi wangapi?
Waione: Pascal Mayalla, Chakaza, Retired MsemajiUkweli, Daudi Mchambuzi,Nyani Ngabu,Salary Slip na wengineo
Sina haja ya kubishia ukweli kuwa Tume huru ya Uchaguzi ni muhimu. Tume huru hulinda demokrasia kwa kuwafanikishia wapigakura kuwachagua viongozi wawatakao. Tume huru inalinda thamani ya kura na mchakato mzima wa kiuchaguzi. Kwahiyo,naunga mkono uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi.
Kwa mfumo na hali ya kisiasa iliyopo hapa nchini mwetu Tanzania,Tume hii itapatikanaje? Wajumbe na wafanyakazi wake wapatikanaje? Utendaji wake uwaje? Iwe na Wajumbe na wafanyakazi wangapi?
Waione: Pascal Mayalla, Chakaza, Retired MsemajiUkweli, Daudi Mchambuzi,Nyani Ngabu,Salary Slip na wengineo