Vile viwanda vyetu Urafiki Textile, Ufi, Mwatex, Mutex, Natioanal Panasonic, Matsushita Electric, Kilitex nk najiuliza sana vilikufaje?? hatuwezi kuvifufua ? maana majengo yapo, naamini na hata mashine na zana zingine zipo japo za kale kiasi. Na kama hazipo zilikwenda wapi? Na nani wa kuwajibika?, au na hili tutamlaumu JK pia? Dar, niliona pale Urafiki wamepewa wahindi eti ndiyo Exim bank or something! Kwaninil lakini? Nani anaamua kuuza sehemu ya mali na viwanda hivi vya Taifa?
Viwanda ni sehemu ya tatizo la ajira kwa vijana na pia kukuza uchumi na pato la Taifa. Tafadhali mwenye uelewa anijulishe maswali hayo na ugumu wa kuvifufua viwanda vile.
Viwanda ni sehemu ya tatizo la ajira kwa vijana na pia kukuza uchumi na pato la Taifa. Tafadhali mwenye uelewa anijulishe maswali hayo na ugumu wa kuvifufua viwanda vile.