GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
maswali ya papo kwa papo kwa mtoto wa mkulima yalipangwa ili yatoe mwanya kwa serikali kutoa mawazo ya nini kinaendelea Arusha,
yule mbunge mwanjelwa aliyeshutumiwa kuiba mataulo Hotelini Arusha ndiye aliyepewa kazi ya kuuliza kuhusu mwafaka na nini kifate baada ya hali hii'
ccm mmechoka kwelikweli
Dola noma ! na hapa ndipo maandishi matakatifu yanapo thibitishwa