Hili suala alilolikatiza spika la Shs 12 million za kodi ya nyumba ya Spika mstaafu halijakaa sawa. Hii nyumba ni ya nani na uhalali wa kodi yote hiyo inayolipwa umekaa vipi? Isije ikawa ndiyo zile nyumba za umma walizojinunulia kwa bei chee kisha wakaipangishia serikali kulipia pango kubwa. Hili suala linahitaji ufafanuzi zaidi hata nje ya mjengo. Hiyo kodi ni too much kulipwa kwa mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.