GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Kama kawaida ya leo Alhamis ni maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu
Bibi Kiroboto kitini
GR leo ndani ya Mjengo
Bibi Kiroboto kitini
GR leo ndani ya Mjengo
GR unatisha, au uko mjengoni nn
Sitta aondoke kwenye nyumba ya U-spika. Sasa hivi ni waziri wa kawaida and he should like waziri wa kawaida. huu ni wizi wa hela za umma. mnafiki original huyu mzee.
Ni Tanzania tu. Mtu anakuwa mstaafu na huku ni waziri pia! Anaitumia hadhi anayoona inamfaa kulingana na mazingira na wakati aliomo.Alikuwa anajifuta jasho tu wakati swali linaulizwa hata hivyo bibi kiroboto kambeba. Kuwa ni stahiki yake kwa kuwa bado ana hadhi ya Spika Mstaafu na kuwa haki hizo huwa haziondoshwi kisheria
Ni Tanzania tu. Mtu anakuwa mstaafu na huku ni waziri pia! Anaitumia hadhi anayoona inamfaa kulingana na mazingira na wakati aliomo.