Pamoja na ushindi wa CCM huko Igunga,mimi nimebaki na maswali haya:
1.Matumizi ya fedha yaliendana na taratibu za gharama za uchaguzi?
2.Polisi na Usalama wa Taifa walitenda haki sawa?
3.Viongozi wa kiserikali walioshiriki kampeni walitumia gharama na muda wa nani?
4.Demokrasia ilitendeka?
5.Ni kwa nini katika chaguzi watu chi ya 50% tu ndio wanajitokeza kupiga kura?
1.Matumizi ya fedha yaliendana na taratibu za gharama za uchaguzi?
2.Polisi na Usalama wa Taifa walitenda haki sawa?
3.Viongozi wa kiserikali walioshiriki kampeni walitumia gharama na muda wa nani?
4.Demokrasia ilitendeka?
5.Ni kwa nini katika chaguzi watu chi ya 50% tu ndio wanajitokeza kupiga kura?