Maswali baada ya uchaguzi mdogo Igunga

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
28,903
10,534
Pamoja na ushindi wa CCM huko Igunga,mimi nimebaki na maswali haya:
1.Matumizi ya fedha yaliendana na taratibu za gharama za uchaguzi?
2.Polisi na Usalama wa Taifa walitenda haki sawa?
3.Viongozi wa kiserikali walioshiriki kampeni walitumia gharama na muda wa nani?
4.Demokrasia ilitendeka?
5.Ni kwa nini katika chaguzi watu chi ya 50% tu ndio wanajitokeza kupiga kura?
 
Majibu ya maswali yote ni "HAPANA".
Haya yote ni kutokana na ubovu wa katiba yetu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom