Maswali 7 ya wazi kwa Zito ZK: Tangazo la ugombea Urais 2010 na 2012 linaashiria nini?

kile kibaraka cha ccm na kimeshahahidiwa kitabadilishiwa katiba ili kigombee ata kama umri mdogo kwa madhumuni ya kuvuruga vuruga chadema lakini kile chama teule sidhani kama kinaweza vurugwa na mtoto mdogo kama yule
 
zana za kilimo mbeya bwana!!!.. anaweweseka sana, ila binafsi naona urais hauwezi, angetuliakwanza mpaka aote hekima na busara za kutosha
 
....oooh!...na wanaomkubali?

Kwakuwa anasema wanaomkataa wanasukumwa na Udini, Itakuwa wanaomkubali pia wanasukumwa na udini.

Ni maoni yangu tuuu...kwani kinyume cha wanaomkataa kwa kigezo cha udini ni kuwa wanaomkubali pia wanafanya hivyo kwa kigezo cha udini.
 
UBUNGE ameshindwa huko kigoma na anajua hata akirudia 2015 hatapata ndo auweze uraisi?
 
Kuna watu ni wepesi wa kuropoka wanapopewa 2000 na mafisadi. Hivi kweli tunajua hili rundo la watu wanaohamia CDM na kuishabikia linaletwa na nini?

Huyo Zitto kama mnaamini anao uzito huo mnaodhania, just tulieni. Labda mngeniambia anatumika kuja kuigawa CHADEMA wakati wa uchaguzi.

Wakati napiga kura yangu 2010, sikuipigia CDM kwa kuwa sikuwa naijua, ila nilimpigia Dr.Slaa kufuatia harakati zake tangu bungeni hadi yale aliyasema kwenye kampeni. Na naamini, wengi walifanya ze sem. Sasa kama leo watu wanalewa sifa na kusahau harufu ya chakula ni viungo, basi nyie hayeni tu
 
ZZK, mwaka 2010 na baadae mwaka huu 2012 umetangaza nia ya kugombea urais ifikapo 2015, sio jambo baya. Lakini nina maswali yafuatayo:

  1. [*=1]Je ni kwa nini mwaka 2010 wakati wa kampeni, chama chako kikiwa na mgombea aliyekuwa na matumaini makubwa ya kushinda wewe ulitangaza nia ya kugombea urais 2015?
    [*=1]Je, ulijua mgombea wa chama chako 2010 asingehinda?
    [*=1]Ama Je, ulijua yale yaliyokuwa yanatamkwa na mnajimu Sheikh Yahaya yangetimia?
    [*=1]Au, Je ulijua baada ya kuongea na Jack Zoka - TISS kuwa huyu mgombea wenu asingeshinda na nini kingefuata baada ya hapo?
    [*=1]Je unaweza kutuambia ni nini kitatokea na kumfanya mgombea wenu wa 2010 asigombee tena 2015 ili kukupa nafasi wewe ya kugombea?
    [*=1]Wakati unatangaza nia 2010 na 2012, unajua kuwa katiba haikupi nafasi, je umeshaongea na mkuu wa nchi kakuhakikisha katiba itakuruhusu?
    [*=1]Je unafanya jitihada zozote kuhakikisha chama chako kinapata uungwaji mkubwa wa mkono wa Watanzania hasa Vijijini?
Naomba unipatie majibu, na hata usiponipatia mimi soma haya maswali na kisha ujijibu mwenyewe.
Asante kwa kusoma na nakutakia kila la heri katika ujenzi wa Taifa.

wewe na wenzio msioelewa demokrasia mnatutia ukakasi,upeo wa zito na wako ni kama mbingu na ardhi thatswhy kamwe hutakuja kumuelewa,unajua nini maana ya Vision?sasa yeye alikua na vision kua by 2015 atagombea urais,akifanya SWOC analysis atajua position yake na hayo mengine yote amabyo kwa upeo wako umeona kwake ni obstacles atatengeneza strategies kufikia objectives zake na ku realise his vision,hata wewe nikikuuliza what do u want 2b by 2017 utaniambia sasa inaweza tokea unachosema kuna mtu anakifanya au anataka kukifanya,hicho hakikuzuii wew kuendelea na dream yako na una m consider aliopo au mwenye same dream kua ni competitor,siasa za chuki na ukabila mnazo zileta juu ya zito ni dhambi kubwa sana tena mnafanya mkijua mnachokifanya,Mungu atasimamia haki
 
u dont qualify kuitwa activist coz ua not critical,siku hizi kila mwenye uwezo wa kupiga kelele nae anajiita activist,hizo pumba hapo juu inaonesha hujui hata unachokisema
 
una dhambi kubwa ya kutengeneza mapak maneno ambayo hajasema,unatumika na nani babu,haaa haaa zito atawapa stroke hakyanani go zito go jembee
 
hivi uchaguzi mkuu wa mwisho wa cdm si ilibid wazee kumpigia magoti kumuomba aondoee jina lake kwenye kugombea uenyekit what was the meaning?ni indicator kua alikua ashinde nafasi ile na anawafuasi wengi chamani,kama mnajiamini kua hakubaliki pelekeni jina muone nini kitahappen afu mje hapa sio mnaropoka tu kama mabata
 
Kiongozi bora na makini ni yule anayeheshimu katiba ya nchi na utawala wa sheria. Kwa mujibu wa katiba ya sasa Zitto anaikiuka hivyo si kiongozi anayetufaa!

Bora angekazania kuwashawishi wananchi ili wajenge hoja nzito katika mabadiliko ya katiba yajayo kupunguza umri wa mgombea urais kutoka miaka 40 mpaka labda miaka 30!

zito kakiuka katiba ipi?alisema kama swala la umri litakua sio kikwazo akiamini katiba mpya itafanya marekebisho,acha unafiki mkubwa wew
 
zito kakiuka katiba ipi?alisema kama swala la umri litakua sio kikwazo akiamini katiba mpya itafanya marekebisho,acha unafiki mkubwa wew
Sasa acha kuota mchana na subiri hadi hicho unachoota kitakuwa kweli!
 
hivi uchaguzi mkuu wa mwisho wa cdm si ilibid wazee kumpigia magoti kumuomba aondoee jina lake kwenye kugombea uenyekit what was the meaning?ni indicator kua alikua ashinde nafasi ile na anawafuasi wengi chamani,kama mnajiamini kua hakubaliki pelekeni jina muone nini kitahappen afu mje hapa sio mnaropoka tu kama mabata

unajua kwanini? aliombwa ajitoe
 
Hivi inakuwaje wakati Slaa bado anakubalika tena kwa sana harafu huyu mwingine naye anahitaji huu ni uroho na ubinafsi mkubwa, au kuna duru/tetesi zozote zinazoonyesha SLAA hawezi kugombea??? Zitto subiri 2035 huo ndiyo muda wako halisi maana utakuwa umejengeka haswaa!!!!!!!!!!
 
Ivi Zitto baada ya kukosa urais atatumika kukujenga chama au atahamia ambaka watampa ugombea urais?
 
Back
Top Bottom