Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Huyu sijui kama anaweza kutafuna mahindi ya kuchoma...
nilijua itafika huku tehe tehe tehe Umenichekesha sana
Huyu sijui kama anaweza kutafuna mahindi ya kuchoma...
ni celebriti
Kwani Julius Kambarage Nyerere ni celeb?
Hii orodha kama hajaingia mama Ana, itakuwa haijakamilika. Fursa sawa kwa wote bana.
tehetehe na mkorogo kwa juu.Kha huo wanja alimpaka Ben nini?
Waungwana nisaidieni. Hivi Mh Spika wa Bunge letu nayeye ni STAA?
Karibu Mabwepande tunatoa hiyo huduma kwa bei nafuu kabisa. Bei zetu zinaendana na mahitaji ya mteja wetu.Nimadaktari wote wa meno wanaweza fanya hiyo bleach?maana nina yangu hapa yanahitaji hiyo kitu
Mama ametokelezea si mchezo, hasa hako ka V-Blauzi si mchezo.Kha huo wanja alimpaka Ben nini?
ndo hivo fadher, nae ni miongoni mwaoDah, kumbe na mama Clinton naye yuko kwenye hii list?