USUPA STAA ndiyo kitu gani hicho? Kama hiyo ni tafsiri ya SUPER STAR inabidi nikuulize ww Bujibuji kama kuna super star hapa Tanzania
Ukweli ni kwamba mabinti wengi ambao ni mastaa hata wale ambao siku hizi ni vigogo kwenye makampuni makubwa wengi walikuwa wanajiuza Garden bistro, Much mo, smokies Tavern, masters, Sea Cliff,Holiday inn, kempinski casino etc. Wengine wanatoka kidogo kwenye famila ahueni walijiuza sana kupata wazungu na ma seneta. Wengine wamebahatisha wameopoa wazungu wengine ndio ngwengwe. Tamaa,Umaskini,Malezi na Utandawazi vinachangia kuharibu mabinti.
,...tatzo wanaishi lyf la maigzo sn,kope za 80000,weaving 250000,lotion 120000,top 90000,jeans 150000 kwa uigzaj UPI??KAMA C KUUZA PAPUCHI...
Jamani yeyote mwenye contact za Lulu anisaidie! Namuhita huyu binti kwa gharama yoyote ile, plz