King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
mpenzi, hayo maisha tu aliyokuwa anaishi ni mabaya kuliko huu mwisho wake. kama ndoa imekushinda unatambaa zako, ndo maana mimi na-support divorce! sasa kajipelekea balaa, na aibu mara dufu! unadhani watoto wake wakijua hii watapenda kweli kum-honour mama yao?
amekufa kifo kibaya sana, imagine alifanyiwa mangapi kabla ya kufikia kukatwa...