Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
R.I.P Farida
Sitaki niamini kuwa mmeo alikuwa hakupi matunzo ya kutosha mpaka ukarubuniwa na mwarabu wa dubai.
Kwa kweli inasikitisha sana Farida kwenda kumvulia nguo huyu mwarabu Guest ya Mkuzu Magomeni dah.
Jamani akina dada kuweni makini yasije wakuta yaliyo mkuta Farida kwa kupenda pesa za mwarabu akamuua guest.
Kinacho niuma zaidi huyu mwarabu amemmkata Farida uke wake dah
R.I.P Farida Salumu mtoto wa Tip Top
Sitaki niamini kuwa mmeo alikuwa hakupi matunzo ya kutosha mpaka ukarubuniwa na mwarabu wa dubai.
Kwa kweli inasikitisha sana Farida kwenda kumvulia nguo huyu mwarabu Guest ya Mkuzu Magomeni dah.
Jamani akina dada kuweni makini yasije wakuta yaliyo mkuta Farida kwa kupenda pesa za mwarabu akamuua guest.
Kinacho niuma zaidi huyu mwarabu amemmkata Farida uke wake dah
R.I.P Farida Salumu mtoto wa Tip Top