Huo ni mtazamo ila nadhani inagusa sehemu fulani ya imani ya watanzania wenzetu, japo ni mtazamo ila yaweza kuonekana ni kauchokozi kwa imani iliyo na huduma ya masista.
Nawasi kidogo na picha kuwamulika hao, anyway wadau wapo ngoja tusubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.