Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Wakuu naombeni sana sana sana anayejua masilahi ya diwani kwa mwezi namaanisha posho na mshahara ni kiasi gani atupie hapa jamvini. Kuna watu wanafanya kazi za kuimarisha vyama vya upinzani huko vijijini sasa ni bora wapate moyo sio wote kuwaza kugombea ubunge na uraisi tu bali pia udiwani na ngazi nyingine za chini.
Baraza la madiwani ni chombo mhimu cha maamuzi ktk halmashauri, manspaa au jiji hivyo ni vizuri kuanza kuwainspire vijana na wasomi waanzie siasa zao huko.
NAWASILISHA
Baraza la madiwani ni chombo mhimu cha maamuzi ktk halmashauri, manspaa au jiji hivyo ni vizuri kuanza kuwainspire vijana na wasomi waanzie siasa zao huko.
NAWASILISHA