Mh wa Mtaa Hana mshahara ,Habari za saa hizi wanajamii forum.Kwa mtu anayejua mwenyekiti wa mtaa na diwani wanalipwa mshahara kiasi gani na wakistaafu wanalipwa shilingi ngapi?
Gombea tu hao wanakula keki ya Taifa. Kikokitoo hakiwahusuHabari za saa hizi wanajamii forum.Kwa mtu anayejua mwenyekiti wa mtaa na diwani wanalipwa mshahara kiasi gani na wakistaafu wanalipwa shilingi ngapi?
Nadhani anazungumzia mwenyekiti wa Halmashauri sio wa Mtaamwenyekiti wa Mtaa
Mwenyekiti wa Mtaa hakosi hela Mimi Babu yangu Ilikuwa mwenyekiti ,na Mama yangu so naelewa hizi Kazi Zina fursa that way sio Rahisi mtu akatae kugombea.Gombea tu hao wanakula keki ya Taifa. Kikokitoo hakiwahusu
Mwenyekiti hana dili labda Mtendaji wa Mtaa ambate ni Mwajiriwa.N
Mwenyekiti wa Mtaa hakosi hela Mimi Babu yangu Ilikuwa mwenyekiti ,na Mama yangu so naelewa hizi Kazi Zina fursa that way sio Rahisi mtu akatae kugombea.
Yaan baba na mama wote wenyeviti mtaa mmojaN
Mwenyekiti wa Mtaa hakosi hela Mimi Babu yangu Ilikuwa mwenyekiti ,na Mama yangu so naelewa hizi Kazi Zina fursa that way sio Rahisi mtu akatae kugombea.
Na balozi wa nyumba kumiHabari za saa hizi wanajamii forum.Kwa mtu anayejua mwenyekiti wa mtaa na diwani wanalipwa mshahara kiasi gani na wakistaafu wanalipwa shilingi ngapi?
MWENYEKITI WA MTAA;-Habari za saa hizi wanajamii forum.Kwa mtu anayejua mwenyekiti wa mtaa na diwani wanalipwa mshahara kiasi gani na wakistaafu wanalipwa shilingi ngapi?
Yaan baba na mama wote wenyeviti mtaa mmoja
Nimekuambia Babu yangu na Mama then Bukoba watu wengi wanakuaga Wana vyeo viwili Mfano udiwani uenyekito so mimi Mama ni diwani na mwenyekiti as the same Babu yangu alikuwa mwenyekiti na pia diwani aligombea Hadi ubunge unfortunately hakupata .Yaan baba na mama wote wenyeviti mtaa mmoja
Hii nchi inaliwa na kutafunwa kwa kila njia - 'halali' na/au haramuMWENYEKITI WA MTAA;-
Mwenyekiti wa Mtaa hana Mshahara isipokuwa anapata posho ya simu Sh. 5,000 kila mwezi toka Kwa Mkurugenzi pia ana posho ya madaraka kwenye Mtaa ambao una vyanzo vya mapato.
Posho hiyo inaweza ikawa kati ya 20,000 mpaka 50,000 Kwa kila mwezi kutegemeana na mapato ya Kijiji au Mtaa husika.
Kikubwa huwa wanafanya madili Fulani Fulani ili kupata pesa
Anapostaafu hana chochote anacholipwa.
DIWANI
Diwani anapohudhuria vikao vya Halmashauri hulipwa posho kati ya 200,000 hadi 300,000 kila mwezi kwa kikao kimoja.
Akienda kukagua miradi hulipwa posho.
Akienda kwenye sherehe za Mwenge hulipwa posho.
Akienda katika Sikukuu za nane nane hulipwa posho.
Akienda mafunzo Wilaya au Mkoa fulani hulipwa posho.
Huwa wana madili pia.
Anapostaafu hulipwa kati ya 10,000,000 hadi 15,000,000 kwa miaka 5.