Nashuka basi stend hapo Mlandizi, nakutana na jamaa yangu kachafuka ile mbaya.
namuuliza nini tatizo anasikitika tu huku akisema kwa huzuni "demu wangu katolewa bikira hapo zahanati muda si mrefu rafiki"
Akaanza kunipa mkasa vizuri. anadai alikutana na huyu demu akamwimbisha ikawa Ok, kisha wakaenda Ghetto kupeana huduma, lakini kwa sababu ya woga wa yule demu uume wake ukaishia juu juu tu bila kutoboa nyavu, ila bao likatoka na kuzaa hiyo mimba. kwa sababu ya geti kali kwao na huyo dada ikabidi wakubali kuitoa.
Jamaa anasikitika kwanini hakuwa yeye wa kutoboa badala vyuma vikasaidia,kama ni wewe unaweza kudai ya kwamba umembikili huyo dada?.
namuuliza nini tatizo anasikitika tu huku akisema kwa huzuni "demu wangu katolewa bikira hapo zahanati muda si mrefu rafiki"
Akaanza kunipa mkasa vizuri. anadai alikutana na huyu demu akamwimbisha ikawa Ok, kisha wakaenda Ghetto kupeana huduma, lakini kwa sababu ya woga wa yule demu uume wake ukaishia juu juu tu bila kutoboa nyavu, ila bao likatoka na kuzaa hiyo mimba. kwa sababu ya geti kali kwao na huyo dada ikabidi wakubali kuitoa.
Jamaa anasikitika kwanini hakuwa yeye wa kutoboa badala vyuma vikasaidia,kama ni wewe unaweza kudai ya kwamba umembikili huyo dada?.