Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nashuka basi stend hapo Mlandizi, nakutana na jamaa yangu kachafuka ile mbaya.
namuuliza nini tatizo anasikitika tu huku akisema kwa huzuni "demu wangu katolewa bikira hapo zahanati muda si mrefu rafiki"
Akaanza kunipa mkasa vizuri. anadai alikutana na huyu demu akamwimbisha ikawa Ok, kisha wakaenda Ghetto kupeana huduma, lakini kwa sababu ya woga wa yule demu uume wake ukaishia juu juu tu bila kutoboa nyavu, ila bao likatoka na kuzaa hiyo mimba. kwa sababu ya geti kali kwao na huyo dada ikabidi wakubali kuitoa.
Jamaa anasikitika kwanini hakuwa yeye wa kutoboa badala vyuma vikasaidia,kama ni wewe unaweza kudai ya kwamba umembikili huyo dada?.
Mkuu hapo inategemea na wewe unavyoelewa maana ya Bikira.
1: Kuna wengine wanasema Bikira ni Kitu kitaalamu kinaitwa Hymen( Ambacho kuwa kinakatwa baada ya Binti mwenye hiyo kukutana na Mwanamme, na mara Nyingi huambatana na kutikwa kwa Damu)
2: Wengine ( Mimi mmoja wapo) Wanaamini Bikira siyo Kitu Bali ni Hali ya Mwanamke ya kutokuwahi kukutana na Mwanamme kimwili
Sasa kusema aidha Umembikiri au la Inategemea wewe ni Muumini wa definition gani kati ya hizo Mbili Nilizozianisha
Kwa Sababu mimi ni Muumini wa hiyo maana ya pili basi nasema kwa Uhakika kwamba Huyo Binti Ulimbikiri provided that wewe ndiye uliyekuwa wa Kwanza kumvua Chupi
Dk. Ndege ya Uchumi