Watu husema unaweza kumfanya mwanamke kuwa malkia wa uingereza lakini kama hakupendi atakunyea tu bila kujali,hii yaweza kuwa kweli.Lakini niyoyashuhudia juzi yameniaminisha pia ukiwa na fedha unaweza kumnyea mwanamke na badala ya kuchukia akafurahi.Siku hiyo ilikuwa hivi
Mziki ulikuwa unapigwa kwa sauti ya taratibu ,watu waliendelea kuingia ukumbini.Nilipoingia ukumbini nilikaa nyuma ya wanandoa wenye umri wa makamo ambao kwa mtazamo wa nje tu ulionyesha kuwa wana fedha za kutupa.Wakati wakiwa wamekazia macho kwenye jukwaa ghafla akapita msichana moja mrembo sana ambaye alimtambua mwanandoa wa kiume akasimama na kusalimiana naye na kisha wakapiga stor mbili tatu kabla ya kuwaacha wanandoa hao.
Alipoondoka mke wa jamaa kwa sauti ya ukali akamuuliza Huyo ni nani Mume wake bila hata ya kumuangalia akajibu ni nyumba ndogo yangu Mkewe kusikia hivyo akakunja ndita kisha akamkunja shati mumewe na kumwambia kwa ukalinaomba taraka yangu sasa hivi mumewe akatafakari kwa muda na kisha kwa sauti isiyo na hisia hata chembe akamjibu Mke wangu naomba ufikirie vizuri.Si unajua maana ya taraka? Nikikupa taraka inamaanisha hutaendesha tena range,wala benzi,safari za Dubai,China na ulaya hautazipata tena na ina maana hautaishi tena kwenye nyumba za kifahari wala kufanya shoping Woolworth au ufaransa Akaendelea na kwa umbo lako hilo sidhani kama tena utapata mwanaume hata wa kukusimamisha ,tumia busara mke wangu mkewe kwa kugundua ukweli akaliachia shati la mumewe akageuz uso wake stejini akaendelea kutazama show.
Baada ya muda akapita msichana mwingine mrembo pia akasimama na kumsalimia jamaa na kisha akaendelea na hamsini zake.Mkewe akamuuliza tena jamaa na huyo ni nani? Jamaa akamjibu kwa pozi lilelie hiyo ni nyumba ndogo ya rafiki yangu Fred mkewe akamjibu kwa heshima kubwa ambayo ilinishtua mimi ,Mhhh huyu wala siyo mzuri kama nyumba ndogo yetu
Mziki ulikuwa unapigwa kwa sauti ya taratibu ,watu waliendelea kuingia ukumbini.Nilipoingia ukumbini nilikaa nyuma ya wanandoa wenye umri wa makamo ambao kwa mtazamo wa nje tu ulionyesha kuwa wana fedha za kutupa.Wakati wakiwa wamekazia macho kwenye jukwaa ghafla akapita msichana moja mrembo sana ambaye alimtambua mwanandoa wa kiume akasimama na kusalimiana naye na kisha wakapiga stor mbili tatu kabla ya kuwaacha wanandoa hao.
Alipoondoka mke wa jamaa kwa sauti ya ukali akamuuliza Huyo ni nani Mume wake bila hata ya kumuangalia akajibu ni nyumba ndogo yangu Mkewe kusikia hivyo akakunja ndita kisha akamkunja shati mumewe na kumwambia kwa ukalinaomba taraka yangu sasa hivi mumewe akatafakari kwa muda na kisha kwa sauti isiyo na hisia hata chembe akamjibu Mke wangu naomba ufikirie vizuri.Si unajua maana ya taraka? Nikikupa taraka inamaanisha hutaendesha tena range,wala benzi,safari za Dubai,China na ulaya hautazipata tena na ina maana hautaishi tena kwenye nyumba za kifahari wala kufanya shoping Woolworth au ufaransa Akaendelea na kwa umbo lako hilo sidhani kama tena utapata mwanaume hata wa kukusimamisha ,tumia busara mke wangu mkewe kwa kugundua ukweli akaliachia shati la mumewe akageuz uso wake stejini akaendelea kutazama show.
Baada ya muda akapita msichana mwingine mrembo pia akasimama na kumsalimia jamaa na kisha akaendelea na hamsini zake.Mkewe akamuuliza tena jamaa na huyo ni nani? Jamaa akamjibu kwa pozi lilelie hiyo ni nyumba ndogo ya rafiki yangu Fred mkewe akamjibu kwa heshima kubwa ambayo ilinishtua mimi ,Mhhh huyu wala siyo mzuri kama nyumba ndogo yetu