Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Katika pita pita yangu huko uswahilini mitaaa ya Mtakuja , Uhuru na baaadae kuelekea maeneo ya home Capri-Point.
Nikiwa njiani baada ya kupita uwanja wa nyamgana kama naenda kamanga ferry nikakuta na rafiki yangu wa zamani sana tulisoma nae High School Dar nikakumbuka yeye alikwenda kuchukuwa mafunzo ya ushushushu, nika piga nae story mbili tatu hivi na kumuuliza kulikoni huku akpiga chenga na baaadae mtu wangu mmoja akniambia kuwa makini sana mashushu wamemwagwa huko majimboni kwahiyo mkaaapo kwa migahwa na kupiga maporojo angalieni sana tiali walisha mwagwa kusikiliza umbea na akasema esp majimbo yenye upinzani mkubwa(eg Nyamagana hapa,Nzega,Iringa-mjini bila kusahau Arusha-mjini) ndio wako kibao na wanavinasa sauti.
Sasa sielewi hawa watu wamemwagwa kwa ajili ya kucheck usalama wa nchi au raia? na kama wapo kwa ajili ya usalama wa raia thats wel and good ila kama wapo kwa maslahi ya chama fulani then that's no free democracy and its not a fair and free election, maana kipindi hiiki kila raia anaongea lake atamkashifu huyu na yule maneno yata semwa meeengi ila mtu fulani akisemwa utashangaa Police hawa hapa ati mnamsema fulani kwani au mwamkashi fulani kwanini
Kwani at the end mbunge atakae chaguliwa bado ni mtanzania yule yule na atwaongoza watu wale wale wa kwajimbo lake
Katika pita pita yangu huko uswahilini mitaaa ya Mtakuja , Uhuru na baaadae kuelekea maeneo ya home Capri-Point.
Nikiwa njiani baada ya kupita uwanja wa nyamgana kama naenda kamanga ferry nikakuta na rafiki yangu wa zamani sana tulisoma nae High School Dar nikakumbuka yeye alikwenda kuchukuwa mafunzo ya ushushushu, nika piga nae story mbili tatu hivi na kumuuliza kulikoni huku akpiga chenga na baaadae mtu wangu mmoja akniambia kuwa makini sana mashushu wamemwagwa huko majimboni kwahiyo mkaaapo kwa migahwa na kupiga maporojo angalieni sana tiali walisha mwagwa kusikiliza umbea na akasema esp majimbo yenye upinzani mkubwa(eg Nyamagana hapa,Nzega,Iringa-mjini bila kusahau Arusha-mjini) ndio wako kibao na wanavinasa sauti.
Sasa sielewi hawa watu wamemwagwa kwa ajili ya kucheck usalama wa nchi au raia? na kama wapo kwa ajili ya usalama wa raia thats wel and good ila kama wapo kwa maslahi ya chama fulani then that's no free democracy and its not a fair and free election, maana kipindi hiiki kila raia anaongea lake atamkashifu huyu na yule maneno yata semwa meeengi ila mtu fulani akisemwa utashangaa Police hawa hapa ati mnamsema fulani kwani au mwamkashi fulani kwanini
Kwani at the end mbunge atakae chaguliwa bado ni mtanzania yule yule na atwaongoza watu wale wale wa kwajimbo lake