Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Ni rahisi sana kuendelea kubisha kwamba kifo kipo na kinatusbiri kwa sababu tu bado tunapumua.
KWa mtaji huo wa ubishi ng'ang'anizi Wengi tutajua kifo kipo siku yetu ikifika.
Mashoga Tanzania wapo siku zote.
Zanzibar wapo wengi zaidi.
Mra ya mwisho niliwaona kwa uwingi wa ajabu pal Fisherman resort nafikiri ni Hotel ya Naushad Mohamed wakiasubiri teksi zije ziwachukue kwenda huko kwa mizee ambayo haiko tayari kuonyesha nyuso zao hapo.
Mashoga wapo na wanatembea na watu wenye heshima kubwa sana katika Madehehebu yao na Imani zao.
Tunachopinga kwa nguvu huku tukiwa na uwingi wa unafiki ni kutangaza hadharani Uhalili wa kuishi kinyumba kishoga.
Mashoga wako wengi Mabasha je???
KWa mtaji huo wa ubishi ng'ang'anizi Wengi tutajua kifo kipo siku yetu ikifika.
Mashoga Tanzania wapo siku zote.
Zanzibar wapo wengi zaidi.
Mra ya mwisho niliwaona kwa uwingi wa ajabu pal Fisherman resort nafikiri ni Hotel ya Naushad Mohamed wakiasubiri teksi zije ziwachukue kwenda huko kwa mizee ambayo haiko tayari kuonyesha nyuso zao hapo.
Mashoga wapo na wanatembea na watu wenye heshima kubwa sana katika Madehehebu yao na Imani zao.
Tunachopinga kwa nguvu huku tukiwa na uwingi wa unafiki ni kutangaza hadharani Uhalili wa kuishi kinyumba kishoga.
Mashoga wako wengi Mabasha je???