Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Mashoga Wazidi Kuongezeka Bongo, Wasaka Wanaume hadi Viwanja vya Soka
Shoga anayejulikana kama Hi Rona au Miuno Love akiwa amezungukwa na watu waliokuwa wakishangaa vimbwanga vyake
Idadi ya mashoga imezidi kuongezeka bongo hivi sasa kiasi cha kwamba baadhi ya mashoga wanaojiuza mitaani kutokana na kukosa wateja mitaani kwa sababu ya wingi wao, siku hizi wanavamia viwanja vya soka kusaka wateja.Katika mashindano ya Kili Taifa Cup yanayoendelea kwenye uwanja wa uhuru, shoga mmoja ambaye anajulikana kama Hi Rona au Miuno Love alitinga kwenye uwanja huo na kufanya vituko katika jitihada zake za kutafuta mteja.
Miuno Love alisema kwamba lengo lake la kuja uwanjani ni kutafuta wateja ili apate chakula chake kwakuwa huko mitaani warembo wenzake wamejaa sana kiasi cha kumkosesha raha.
Shoga huyo aliyekuwa amevaa gauni refu na kandambili zilizojaa vumbi alisema kwamba watu wanaokuja uwanjani wanajua kuchagua vizuri kwahiyo ana uhakika atapata mwanaume wa kuondoka naye.
Shoga huyo ambaye alikuwa haoni aibu kwa watu waliokuwa wamemzunguka wakimshangaa alimvuta mwandishi wa habari hii na kumnong'oneza "Niachie hata mia tano basi si unajua nimekupa siri zangu".
Shoga huyo alifanikiwa kuingia uwanjani bila ya kulipa chochote ingawa mlangoni kulikuwa na mabaunsa waliokuwa wakiwakomalia watu watu wengine walipe.
Hivi karibuni shoga mwingine wa Tanzania ambaye alijibadilisha jinsia kuwa mwanamke ambaye alikuwa maarufu kwa jina la Anti Aluu alijiua kwa kunywa sumu.
Shoga anayejulikana kama Hi Rona au Miuno Love akiwa amezungukwa na watu waliokuwa wakishangaa vimbwanga vyake
Idadi ya mashoga imezidi kuongezeka bongo hivi sasa kiasi cha kwamba baadhi ya mashoga wanaojiuza mitaani kutokana na kukosa wateja mitaani kwa sababu ya wingi wao, siku hizi wanavamia viwanja vya soka kusaka wateja.Katika mashindano ya Kili Taifa Cup yanayoendelea kwenye uwanja wa uhuru, shoga mmoja ambaye anajulikana kama Hi Rona au Miuno Love alitinga kwenye uwanja huo na kufanya vituko katika jitihada zake za kutafuta mteja.
Miuno Love alisema kwamba lengo lake la kuja uwanjani ni kutafuta wateja ili apate chakula chake kwakuwa huko mitaani warembo wenzake wamejaa sana kiasi cha kumkosesha raha.
Shoga huyo aliyekuwa amevaa gauni refu na kandambili zilizojaa vumbi alisema kwamba watu wanaokuja uwanjani wanajua kuchagua vizuri kwahiyo ana uhakika atapata mwanaume wa kuondoka naye.
Shoga huyo ambaye alikuwa haoni aibu kwa watu waliokuwa wamemzunguka wakimshangaa alimvuta mwandishi wa habari hii na kumnong'oneza "Niachie hata mia tano basi si unajua nimekupa siri zangu".
Shoga huyo alifanikiwa kuingia uwanjani bila ya kulipa chochote ingawa mlangoni kulikuwa na mabaunsa waliokuwa wakiwakomalia watu watu wengine walipe.
Hivi karibuni shoga mwingine wa Tanzania ambaye alijibadilisha jinsia kuwa mwanamke ambaye alikuwa maarufu kwa jina la Anti Aluu alijiua kwa kunywa sumu.