Nadhani kwa kila penye mkusanyiko na wao wapo katikati yenu!sasa kama nihivyo na mnapenda mtambuliwe kisheria basi matembezi uanzia nyumbani kwa mantiki hiyo kama wanajamii tulioko jf tungependa tuwafahamu!
Nadhani kwa kila penye mkusanyiko na wao wapo katikati yenu!sasa kama nihivyo na mnapenda mtambuliwe kisheria basi matembezi uanzia nyumbani kwa mantiki hiyo kama wanajamii tulioko jf tungependa tuwafahamu!
sijui Boflo alienda wapi? yule ndo anajulikana
Kumbe alikuwemo humu? aliishije ishije?sijui Boflo alienda wapi? yule ndo anajulikana
Sijakuelewa kabisa hapo red?
Mwanamke anahusuana na kike moja kwa moja
Kwa hiyo wanawake humu jf inakuwaje?
Kwa ile style ya kuitana mara sijui kamerun mara sijui masaburi, basi karibia kila mtu humu ndani shoga lol
Je ukisikia paaaa....???
Access denied!
Mh naamini waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba....wao wenyewe wahusika watajuana ila kwa hapa JF si mahala pazuri kwa kufanya *hili kwa sasa....watatafutana tu
Niko kijana wangu nilikuwa busy sanaMkuu upo leo sijakuona jamvini