KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Nadhani kwa kila penye mkusanyiko na wao wapo katikati yenu!sasa kama nihivyo na mnapenda mtambuliwe kisheria basi matembezi uanzia nyumbani kwa mantiki hiyo kama wanajamii na mko Hapa JF Basi tungependa tuwafahamu!Sivibaya mkajulikana kama kuna wakuwaunga mkono hapa basi wawaunge na mikono.