Mashoga wa JF.

Wow kurasa 5 na hamna kitu. Mazingira yanawazuia. Magay wengi hasa waliosoma na kazi nzuri hawataki maisha yao yabadilike hivyo hawajitangaza sehemu ya wazi kama hii. Kuna hofu ya kupoteza kila walichonacho kama jamii/familia itawatenga. Can u imagine ndugu kama shangazi/wajomba au wafanyakazi wenzio wakijua u're gay. Its too much to bear so noone comes out. Akina aunt........ wako wazi maana they don't have much. (I apologize for using kiswanglish)
 
Wow kurasa 5 na hamna kitu. Mazingira yanawazuia. Magay wengi hasa waliosoma na kazi nzuri hawataki maisha yao yabadilike hivyo hawajitangaza sehemu ya wazi kama hii. Kuna hofu ya kupoteza kila walichonacho kama jamii/familia itawatenga. Can u imagine ndugu kama shangazi/wajomba au wafanyakazi wenzio wakijua u're gay. Its too much to bear so noone comes out. Akina aunt........ wako wazi maana they don't have much. (I apologize for using kiswanglish)
Sasa watapataje haki ya kutambuliwa kwenye jamii kama wamepewa jukwaa hawataki??je kama wewe ungekuwa gay ungeogopa kutumia hili jukwaa???wakati utashi wakuwa gay ukulazimishwa!
 
Sasa watapataje haki ya kutambuliwa kwenye jamii kama wamepewa jukwaa hawataki??je kama wewe ungekuwa gay ungeogopa kutumia hili jukwaa???wakati utashi wakuwa gay ukulazimishwa!
I suppose u're right, it's easier being in a crowd than standing in front of ppl n say i'm gay. I'm sure IF someone comes out first in JF then others will follow depending on the reaction. it's a Tanzanian thing to wait for somebody else and gays are no different.

P.S.Why don't those aunt come to JF and talk, it might encourage more to come out
 
I suppose u're right, it's easier being in a crowd than standing in front of ppl n say i'm gay. I'm sure IF someone comes out first in JF then others will follow depending on the reaction. it's a Tanzanian thing to wait for somebody else and gays are no different.

P.S.Why don't those aunt come to JF and talk, it might encourage more to come out
Basi tuvute subira watakuja,on top of that mbona wa ulaya wanasema??tena Ma CEO! Why not here??
 
I am gay. ask questions politely and I will try answering as best as I can
 
I am gay. ask questions politely and I will try answering as best as I can

Ulianzeje u'gay' na sababu zipi zilikufanya uanze huo mchezo!unajisikia na unapata raha gani pindi mwanaume mwenzako anapokuingilia?na je huoni kwamba unamtendea mungu ndivyo sivyo?
 
Nadhani kwa kila penye mkusanyiko na wao wapo katikati yenu!sasa kama nihivyo na mnapenda mtambuliwe kisheria basi matembezi uanzia nyumbani kwa mantiki hiyo kama wanajamii tulioko jf tungependa tuwafahamu!

Duh kamanda unatakupumuliwa/kupumuliwa kisogoni?
 
@ PakaJimmy, I had my first crush on another boy in class7. I never told him coz we were kids, I messed around with a few boys during o-level but stopped messing around after I started failing in school and got blackmailed repeatedly. The feelings are still there though, I am just more careful b4 starting it with another guy.

@Daffi, I get 'turned on' when I am with some guys but not with girls.I daydream about other guys and even wanted to kiss my best friend in class one day but I managed to leave b4 I doing so. I used to feel very bad about being gay and wanted to kill myself when I was younger but later on I got friends who were okay with it and I stopped self hating and became okay with myself.
 
I am gay. ask questions politely and I will try answering as best as I can

Aisee; is it okay if l say sorry!
So umeajiriwa au umejiajiri? Where u at any point in ur life before u realiaze who u actually r; abused say by an adult?
R ur siblings girls, or did u use to hang out with girls zaidi ya boys?

Na mwisho forgive my ignorance; nani anaplay role ya mwanaume, wewe au partner wako?
 
wale wote wenye kutumia ID za kike au kujifanya wanawake while ni wanawanaume mi nadhani ni mashoga au wana elements za kishoga .. haiwezekani Dume zima Ujifanye mwanamke na PM unajibu za wanaume wenzako..
 
Aisee; is it okay if l say sorry!
So umeajiriwa au umejiajiri? Where u at any point in ur life before u realiaze who u actually r; abused say by an adult?
R ur siblings girls, or did u use to hang out with girls zaidi ya boys?

Na mwisho forgive my ignorance; nani anaplay role ya mwanaume, wewe au partner wako?
No need to say sorry. I was hired soon after graduating. I was inclined to guys since primary school (can't remember which grade), liked my first boy in class7. I hanged out with girls a lot when I was younger but less after graduation since it might arise suspicion. No to the abuse thing and I got 2 brothers.
I'm versatile and prefer versatile guys, however there is no distinction in roles and he can't say e.g. go make dinner or let me pay for the date. It's more 50/50. I'm single now so I can focus on work since I don't want to be those dependent gays waowekwa ndani kama mwanamke wa kijijini.
 
No need to say sorry. I was hired soon after graduating. I was inclined to guys since primary school (can't remember which grade), liked my first boy in class7. I hanged out with girls a lot when I was younger but less after graduation since it might arise suspicion. No to the abuse thing and I got 2 brothers.
I'm versatile and prefer versatile guys, however there is no distinction in roles and he can't say e.g. go make dinner or let me pay for the date. It's more 50/50. I'm single now so I can focus on work since I don't want to be those dependent gays waowekwa ndani kama mwanamke wa kijijini.
Juu ya yote pole sana na umshukuru jamaa yako labda kweli ungejiua lakini yote maisha napia nakujitikeza hadharani JF ni matumaini yangu na wengine watajitokeza kwani nyinyi ni familia yetu hatuwezi kuwatenga kwa sababu ya maamzi mliyoyachagua!Naomba wachangiaji msilete kashifa kwake kama alivyo sema muulize swali lolote kwa usitaarabu atakujibuni!!
 
Other than yourself and boy friends who else know?
Do you feel being gay has changed the way you view other people or groups that show discrimination? If yes, how?
What would you like to be done to better the gay relations in our country and why?
Do you need an assistance to retune your orientation, I mean be straight?
 
@ KakaKiiza, Thanks n I'm glad i didn't do suicide. It became easier after I saw on tv gay leading normal lives. Form5/6 was really good for me as I wasn't hated or made fun by other students,

@ Ikeli Nagiva, About 1/4 of my A-level knew as I wasn't scared after I saw they were okay with me. I remember talking with my best friend about the gay thing for hours during weekends. At college (UDSM) my girlpal form form6 knew and was cool. i told someone in my faculty during dinner in 1st yr, he is cool to this day. I told 3 others over 4 years. I became worried one of them would out me so i started complementing her excessively ili nimpotezee, it worked. I thought of telling others but decided not to. Of course my family doesn't know.

I sympathize for discriminated groups as they didn't choose to be so and most can't help themselves. i was lucky enough to study and made it. The ppl I told told me they don't mind after the 'put themselves in my shoes'. If more ppl thought like this we'd much less inclined to harm/discriminate against others.

Decriminalize gay relationships, it would be nice if I could be open at work. I also wish gays could marry (at least government wedding) not necessarily in churches/mosques.

Turning straight!! If I fall for a woman I wouldn't mind. I would not go to conversion or anything of the sort as I'm okay with being me.
 
@blaine n kurt.
Sijui niseme 'Pole' kama italeta maana.

Kama nimekuelewa, hukuwa abused wala nini. Ulijikuta tu unavutiwa na wanamme kuliko wanawake?

Na katika mapenzi, unaplay roles zote, nikimaanisha ya mwanamke na mwanamme?

Kama jibu hapo juu ni ndio unaplay roles zote, je nikisema kuwa mwanamme anayependa s.h.o.g.a uwezekano wa yeye kugeuzwa mwanamke na mwezie ni mkubwa, ntakuwa sawa?

Nina maswali mengi, hasa kuhusu ilianzaje.
Kama mzazi, ili nisaidie hawa wengine wasije jikuta hivyo kwa uzembe wangu. Natumaini sijakukwaza.
 
duh, naona kama ni kitu complicated
hasa ukizingatia amefanya kwa muda gani
je amekuwa addict wa hii kitu?

Mtu ukishakuwa addict ni ngumu kuacha.
Halafu, sidhani kama yeye anaona ni tatizo.
Ili uweze saidiwa mambo kama haya ni hadi wewe mwenyewe uone ni tatizo.

Ni ushauri zaidi ndo waweza saidia lakini kupata relapse ni kitu cha kawaida.

leo hii mtu akijitokeza akupeleke kwa daktari ili ufanyiwe ustaraabu urudi kwenye hali yako ya kawaida,will u accept that offer?
 
Back
Top Bottom