Wakuu-
Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
wewe si mbunifu!!usipoteze hela kununua mashine nunua sukari yeyusha kwenye maji halafu weka food colour utapat juice taaaaaaamuuu ya miwa!
Nenda SIDO mkuu! Jitahidi kuwa msafi kwenye biashara yako, kitu kinanifanya nisiwe na hamu na juice ya miwa ni uchafu, unakuta nzi na nyuki kibao kwenye mazingira ya utengenezaji wa juice.
Wakuu-
Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Afikirie pia teknolojia nzuri na rahisi ya kusindika... vinginevyo juisi itageuka Kiroba Orijino...!!!mimi nitamshauri pia aende SIDO. kuhusu usafi, ni kweli inabidi alizingatie, na mojawapo ya njia ya kukabiliana na inzi ni kutengeneza juisi hiyo usiku kama Forodhani Zanzibar
Afikirie pia teknolojia nzuri na rahisi ya kusindika... vinginevyo juisi itageuka Kiroba Orijino...!!!
Du hapo umenicha kidogo,ina maana kiloba original kinatengezwa kwa miwa?
Juice ikichacha kaka itageuka kilevi...Du hapo umenicha kidogo,ina maana kiloba original kinatengezwa kwa miwa?
, na mojawapo ya njia ya kukabiliana na inzi ni kutengeneza juisi hiyo usiku kama Forodhani Zanzibar
Afikirie pia teknolojia nzuri na rahisi ya kusindika... vinginevyo juisi itageuka Kiroba Orijino...!!!