Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Chonde chonde masheikh,simamieni dini na siyo siasa kwani hamuiwezi. Kwani huyu ndugu yetu Kubenea siyo Muislam?
In God we trust.Kwa style hii ya waislamu kutaka kufanya watakavyo kwa kisingizio cha dini haitawezekana.......dc lazima afuate sheria za nchio na sheria za uchaguzi ambazo yeye kwa makusudi na kwa kukusudia amezikiuka. Ni ajabu pale waislamu wanaendelea kuwahamasisha wahalifu (wa mali-kweney mabenki na wale wa sheria -km Fatuma) kutumia mavazi yanayoitwa ya kiislamu kuhalalisha uhalifu wao........kwa taarifa yenu kama huo ndiyo uislamu basi AKIKAMATWA USTADH NA MTU MIDEVU YAKE ANAIBA NA WANANCHI WAKIMKAMATA NA KUMNYOA WAISLAMU WATASEMA NDEVU NI VAZI LA KIISLAMU...
MASHEIKH ACHENI KUENEZXA UDINI KWA MASLAHI YA MATUMBO YENU -HASA POSHO MNAZOPATA KUTOKA CCM KILA BAADA YA KUTOA MATAMKO TAFADHARI
Kwa nini huyo kiroboto asije mwenyewe kukanusha au kukubali juu ya iman yake. Kwani amekuwa popo yeye.! Na hao masheikh kwa nini wausemee moyo wa Fatuma Kimario.?
suala la kimario fatuma halina mashiko na lipo kisiasa zaidi hivyo bakwata kuliingilia hili ni kujichafua! Mbona wanashindwa jambo dogo sana la kuandama kwa mwezi na hawalitolei matamko kama la dc, njaa bana ni kitu mbaya sana.
huyu mama ataleta matatizo atakapofariki kwamba azikwe kwa taratibu za dini ipi. Inawezekana anamdanganya mume wake kuwa amebadili dini kuwa mkristo wakati akiwa peke yake anaendelea na uislam. Au hajui amwabudu mungu wa dini ipi.