Mashamba ya miti ya mbao yanauzwa

Nagweretu

Member
Jan 21, 2020
73
70
Kwa wale waliotayari kuwekeza kwenye uwekezaji usio na hasara mnakaribishwa sana.

Mashamba ya miti ya mbao aina ya MIKARIBEA pamoja na ardhi yake yanauzwa.

La kwanza lina ukubwa wa ekari tatu na nusu na miti yake ni umri wa miaka 7 bei ni milioni 10.

La pili lina ukubwa wa ekari 30 ivi kwa makadilio na miti yake ni umri wa miaka 4 bei ni milioni 60.

Mashamba yote yanafikika kwa urahisi kwa gari na karibia KM 4 kutoka balabala ya lami.

Iwe ni mtu binafsi , taasisi , kanisa, msikiti, viwanda, kampuni n.k. Mnakaribishwa kwenye uwekezaji huo.

Location MULEBA KAGERA

+255 621 908 727
 
Picha ndio izi hapa
 

Attachments

  • IMG_20240328_084107.jpg
    IMG_20240328_084107.jpg
    2.9 MB · Views: 4
Back
Top Bottom