Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Hahahahaha! You made my day KiranjaMchungaji sharobaro meeeeen, nasema pepo toka meeeeen
Huyu msanii ndio mwanzilishi wa commercial kwenye hiphop.miaka ya karibuni amekuwa akitangatanga sana mara kaacha muziki wa dunia mara akarudi tena na mkito mkali ninao uzimia sana welcome back akipigiwa chapuo na mshkaji wake p didy,tukasikia hatakuwepo Bad boy amejiunga G unit then akapotea na kuibuka na hayo ya uchungaji!
Binafsi ni shabiki wake mkubwa,na uwezo wake unaheshimika sana.but ndo maisha hayo kwani naamini sio kwamba muziki umemshinda.
Mkuu bado naamini Mase anauwezo mkubwa kuliko vijana wengi wa sasa ila huku kujichanganya hata mm nakiri simuelewi! Lakini Mase ni mkali kwa wanaofahamu muziki na soko hili bado anaweza kuliteka.HUYU,hana lolote,just confused,baada ya Biggie kuuwawa,yeye alihisi he was next on the hit list,vilevile wapambe wakawa wanamwambia Pdiddy anamu exploit,akaamua kuokoka.When the coast had cleared akaamua kurudi kupitia G-unit where he thought he will carry on where he left-it did not work out-now he is back kivingine a typical case of mid life crisis
Game lime-tait vibaya!!
Kaona uchungaji unalipa.
ni kweli upastor unalipa tena sana kwa sababu malipo yake sii pesa bali ni uzima wa milele. Hamkumuona petro alivyoitwa na yesu? Kama ambavyo petro aliyekua mvuvi akaambiwa na yesu kuanzia leo utakua mvuvi wa watu, ndivyo alivyoambiwa mason (mase) kwamba kuanzia sasa hutaongoza tena makundi ya watu kwenda jehanamu kupitia muziki wako bali utawaongoza kuingia kwenye ufalme wa mbinguni kupitia neno la mungu. Na ndicho anachokifanya sasa. Kweli mungu wa ibrahim, isaka na yakobo atukuzwe....na wote wasemeeee....amen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
In the world of hiphop he is legendary natarajia atakuwa na mahubiri ya aina yake.nitajitahidi kumfatilia maana ana influence kubwa kwa vijana.Ni mmoja wa watu waloteuliwa na mungu kuifanya kazi yake,
ndo maana anenda kwa mungu then anarudi tena kwakua anasita sita nakuonekana anatanga tanga.
Hata yona alifanya kitu hicho chicho ila mwisho wasiku kama mungu kakuchagua utarudi kwake tu ndo ninachohaamini, pia kila jambo na wakati wake, wakati ukifika hakuna kubisha.:A S-omg: