Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,238
Propaganda laini zakijinga.
Ingekuwa propaganda huu uzi ungeshafutwa zamani
Propaganda laini zakijinga.
Ukichoma maboksi yenye kura tu haisaidii, inabidi yachomwe pamoja na aliekamatwa nayo pamoja!!hayo maboksi mkiyakamata chomeni moto
Mungu yupi kasema tuchague makapi??Mungu amesema ccm sasa baaaaasiiii imetosha waliyoyafanya sasa kwa hivyo wapumzike, na kwa kuamini hilo ni kwamba lowasa ndo fimbo ya ccm
RPC ni kada, Mary Nagu nae ni Kada. Akili za kuambiwa changanya na zako!!