Udo9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 253
- 76
Lakini ndugu yangu wamiliki was hii site wao ndio wanaocontrol na wanajua IP address ya comment zinapotoka.So kwa hilo unalolizungumza sidhani kama linauzito sana humuNinacho kiona humu kuna kikundi cha watu au mtu mmoja anatumia multiple alias names kujaribu kueneza uzushi wenye lengo la kuwafanya watu wahamaki na kuleta fujo,watu kama nyinyi mnapaswa kufatiliwa na kuwekwa kwenye slammer mpaka Rais atakapo hapishwa.