Masai bwana.....

Mtalingolo

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
2,181
409
Masai aliibiwa simu kwenye daladala, akaanza kutoa onyo kwa abiria:-

MASAI: Jamani alieiba simu yangu arudishe haraka kabla sijafanya kitu kama nilichofanya nilipoibiwa simu yakwanza.

KONDAKTA: kwa ustaarabu "Jamani alieiba hyo simu arudishe basi".

MWIZI: kwaaibu "Bro simu yako hii hapa"

KONDAKTA: "Kwani bro ulivoibiwa marayakwanza ulifanyaje??"

MASAI:"Nililiaaaweeeeee."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom