mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Waziri wa TAMISEMI ametoa tamko kuwa masaburi hana mamlaka ya kuivuja bodi ya ddc. Source taarifa ya habari tv.Hawa magamba cjui vp hivi masaburi na tumbo lote lile kama pipa hakuona aibu kabisa kutangaza kuwa ameivunja bodi ya ddc kumbe hana hata chembe ya mammlaka kuivunja ddc nadhani yeye ameprove kuwa anatumia makalio kufikiri na kufanya maamuzi.