Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Baada ya kusubiri kwa miaka kumi hatimaye imebakia masaa 48 tu kuhesabiwa ili serikali ipate takwimu inazohitaji. Nikiwa kama raia mwema wa Tanzania nimejiandaa vya kutosha kuhesabiwa na ninao wajibu wa kuwahamasisha watanzania wenzangu wahesabiwe. Ewe mwana JF mwenzangu, ewe Mtanzania mwenzangu huu ni wakati muafaka kuhesabiwa. Its a once in ten years opportunity. Kwangu nimeandaa soda na keki kwa ajili ya karani na kiongozi wa mtaa kujiburudisha huku wananiuliza maswali mkuu wa kaya.
SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA...
SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA...