Huyo ananuka damu ya watu wa Arusha ,asivyo na haya sijui ana smile niniMary Chatanda
Ni kweli ana nafuu maana huyu mwingine yeye kila wakati ni kama anatoka kuamkaana nafuu mara 100 kuliko Makinda
kwa uzuri ni mzuri tuache ushabiki!!!!! na hiyo guest kujenga si ajabu tena mnasema kaguest? huyu mama anaweza kujenga liguest kwa kuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa mbao za umeme ana malori ambayo husafirisha mbao zake kwenda kenya!!! msiwe mnaropoka bila kuchunguza!!!! hiyo ni moja tu ya biashara zake!!!!
Mary Chatanda
She is actually Beautiful than i thought she is....[/QUOT
Is chatanda beutiful?!! ama unatania mkuu..naamini kama ni hivo basi bibi yangu(89) ungemuona ungeshangaa jinsi anavyomeremeta kuliko chatanda...
She is actually Beautiful than i thought she is....