CDE. Issa Gavu apokelewa kwa shangwe na Mwenyekiti wa UWT CDE. Mary Chatanda

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
741
479
Katibu wa NEC, Idara ya Organaizesheni Ndugu. Issa Haji Ussi (Gavu) tayari amewasili katika Ukumbi wa Mkuki House na kupokelewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Mary Chatanda (MCC).

Ndugu. Gavu amefika na kuungana na UWT katika Kongamano la Kumshukuru na Kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya ya utekeleza wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kwa kipindi cha miaka 3 akiwa madarakani kuanzia 2021 - 2024.

Katika ushiriki wake, Ndugu. Gavu ndiye Mgeni rasmi akimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi. Emmanuel Nchimbi.

🗓️ 26 Machi, 2024

#KongamanoLaKumpongezaRaisSAMIA
#Miaka3YaRaisSAMIA
#UWTImaraJeshiLaMamaSamia
#MwanamkeNipo
#KaziIendelee

IMG-20240326-WA0034.jpg
IMG-20240326-WA0030.jpg
 
Nchi ngumu sana hii,Mchele Kilo Moja Tsh. 3800,haya ya kina Gavu na kumpongea Samia yanasaidiaje kupunguza Bei ya Mchele, Sukari na bidhaa nyingine??
 
Katibu wa NEC, Idara ya Organaizesheni Ndugu. Issa Haji Ussi (Gavu) tayari amewasili katika Ukumbi wa Mkuki House na kupokelewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Mary Chatanda (MCC).

Ndugu. Gavu amefika na kuungana na UWT katika Kongamano la Kumshukuru na Kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya ya utekeleza wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kwa kipindi cha miaka 3 akiwa madarakani kuanzia 2021 - 2024.

Katika ushiriki wake, Ndugu. Gavu ndiye Mgeni rasmi akimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi. Emmanuel Nchimbi.

🗓️ 26 Machi, 2024

#KongamanoLaKumpongezaRaisSAMIA
#Miaka3YaRaisSAMIA
#UWTImaraJeshiLaMamaSamia
#MwanamkeNipo
#KaziIendelee

View attachment 2945258View attachment 2945259View attachment 2945260View attachment 2945262View attachment 2945263View attachment 2945264View attachment 2945265
Gavu jiangalie mikono hiyo na mwezi huu mtukufu wa Ramadhani
 
CDE. ISSA GAVU APOKELEWA KWA SHANGWE NA MWENYEKITI WA UWT CDE. MARY CHATANDA


katibu wa NEC , Idara ya Organaizesheni Ndugu. Issa Haji Ussi (Gavu) tayari amewasili katika Ukumbi wa Mkuki House na kupokelewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Mary Chatanda (MCC).

Ndugu. Gavu amefika na kuungana na UWT katika Kongamano la Kumshukuru na Kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya ya utekeleza wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kwa kipindi cha miaka 3 akiwa madarakani kuanzia 2021 - 2024.

Katika ushiriki wake, Ndugu. Gavu ndiye Mgeni rasmi akimwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi. Emmanuel Nchimbi.

🗓️ 26 Machi, 2024

#KongamanoLaKumpongezaRaisSAMIA
#Miaka3YaRaisSAMIA
#UWTImaraJeshiLaMamaSamia
#MwanamkeNipo
#KaziIendelee
 

Attachments

  • IMG-20240327-WA0239.jpg
    IMG-20240327-WA0239.jpg
    617.5 KB · Views: 1
  • IMG-20240327-WA0243.jpg
    IMG-20240327-WA0243.jpg
    711.6 KB · Views: 1
  • IMG-20240327-WA0240.jpg
    IMG-20240327-WA0240.jpg
    712.9 KB · Views: 1
  • IMG-20240327-WA0242.jpg
    IMG-20240327-WA0242.jpg
    713.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom