Huyo binti mwambie asome kwenye kanuni za kanisa la wasabato wameandikaje kuhusu ndoa,hizo kanuni zimenukuliwa kutoka kwenye biblia ambapo inasema msioe wasio na imani moja na nyie.
Wasabato hufuata Amri kumi za Mungu ambazo hazijawa altered,hufuata biblia yote agano jipya na la kale,etc kuoana hapo itakuwa ngumu jombaa
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
mimi ni msabato nacho jua mara nyingi wasabato huwa wanamtenga mwanao juu ya lile alilolifanya kiimani lakini ushauri mkubwa huwa ni kwamba yeye arudi kwenye darasa la ubatizo ajifunze upya na kubatizwa na mara ingine kama biti ataruhusiwa kuolewa na mwanaume mwenye dini tofauti ushauri mkubwa huwa ni kwamba mshauri mume wakawe msabato mfunge ndoa na akikataa basi alazimishwa
Kuoana haikuwa ngumu, ugumu wame utengeneza wazazi. After all Bibilia watu mnaisoma juu juu na mnalazimisha kuweka mawazo yenu i.e. Kuyafasili maandiko kukidhi matakwa yenu.
inakuwaje wazazi wanatumia msimamo wa dini kutoa mimba?? roho zao hazishtuki wanapfanya hivyo au?i have a friend too alipatwa na mkasa kama wako ni gal na alikuwa ana mimba msabato pia wazazi wake ni wakali balaa waliweka vizingiti na mkwara mzito binti atoe mimba ili kusiwe na link yoyote hapo, so mimba ikatolewa wazazi walisimamia kazi nzima ya utoaji ila mwisho wa siku kwa kuwa bado walikuwa wanapendana sana, mwanaume akatafuta makazi mapya akasepa na binti kimnya kimnya wanaishi pamoja sasa mambo yanakwenda fresh na wazazi wamebaki njia panda hawana la kufanya mana wao waliamua :decision:
inakuwaje wazazi wanatumia msimamo wa dini kutoa mimba?? roho zao hazishtuki wanapfanya hivyo au?
Asante ndugu, ila dini
siwezi kubadili coz ninasali kwa mungu sio kwa dhehebu. Asante kwa
ushauri.
bujibuji kwa ushauri tu unatisha....endelea kumpiga mimba nyingi kadiri uwezavyo, wenyewe watalegeza uzi
MUNGU hana dini..hizi dini za wanadamu zimekuja kwetu kwa meli.
Hawajasema msabato, wala mlutheri wala Mromani, wala Anglikana. Usiumize kichwa kijana, we jipange kuanza life na huyo mkeo mtarajiwa.
mimi ni msabato nacho jua mara nyingi wasabato huwa wanamtenga mwanao juu ya lile alilolifanya kiimani lakini ushauri mkubwa huwa ni kwamba yeye arudi kwenye darasa la ubatizo ajifunze upya na kubatizwa na mara ingine kama biti ataruhusiwa kuolewa na mwanaume mwenye dini tofauti ushauri mkubwa huwa ni kwamba mshauri mume wakawe msabato mfunge ndoa na akikataa basi alazimishwa
Unajua watu wanashangaa usabato na Ulutheri. Mimi nimekaa na wasabato wako distant na wakristu wengine...wana sheria nyingi na nyingine zinazotaka fanana na waislamu. Hiyo watu wasishangae..hilo dhehebu liko quit different ndio maana wanasali jumamosi.
Uki date Msabato jua kuna vikwazo mbele vya kidini kwani hawana interaction kiimani na madhehebu mengine.