Mghoshingwa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 305
- 73
Wana Jf, poleni kwa majukumu! Najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri!
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.