Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Umejtahidi hongera
I Love this guy
Is He Single mmmhh????
The website is awesome.....:first::second::third:
AD pole mwaya,
Yaani kijana kaoa juzi juzi tu jaman
Hahahhaha labda mpango wa kando kama tayari.
hakuwa na haja ya kuimbia chadema, kafu wala ccm, yeye ndiye aliyeleta siasa........... WEREVU WALING'AMUA!!!mimi mwenyewe ni chadema damu damu, na ninaupenda sana muziki wa marlaw, kwasabu napenda maendeleo marlaw alipowaimbia ccm haikuniuma bcoz niliamini alikuwa anafanya bishara tu,
hata chadema au cuf wangemuwahi na kuongea nae kibishara basi naamini marlaw angewaimbia tu.
sasa tuache kuingiza siasa, wanasiasa wa ki africa hawana uzalendo na nchi bali miili yao na familia zao tu.
website hiyo inapatikana kwa: http://marlawmusic.com/ na Facebook page yake ni http://www.facebook.com/MarlawMusic
Jamani umeniumiza moyo sana..
acha nikajifungie chumbani nilie
Hongera yake lakini kwa kumpata kimwana
Keep up man... I think you are brilliant...
Number one fan ....
Mimi pia aliniudhi kubadili wimbo wa pi pi kuingiza maneno ya CCM. Hata kama amekodiwa ule wimbo ulishapendwa na wapenzi ambao wengine si CCM wala CHADEMA alinihudhi kwa kweli. Na si peke yake kuna na yule kaka kidumu nae wimbo wake bomba kaweka maneno ya siasa. Si wangetunga nyimbo mpya! Next time wajifunze kutotumia nyimbo zilizowapa chart kisiasa.
Mbona Tovuti haipatikani?
Labda atakuwa amejifunza.ameshindwa kuilipia domain maskini dah! mziki umemchoka website imemchoka ccm wamemchoka