mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
fungua bs pm mpenzTeh eti kwa kishindo, umejitahidi mwaya Mwagito
Mbona sijafunga mpenzifungua bs pm mpenz
Katumia njia za kiumeIla jamaa sijui katumia mbinu gani kumtuliza Besta manake,wanawake wenye mishepu kama ya Besta plus umaarufu wengi wao ni wasumbufu kwenye ndoa.
Mnh!!! Yaani nimepotea wiki 2 tu tayari nishaibiwa!!Mbona sijafunga mpenzi
Nafikiri kitendo chake chakushindwa kutoa hit song Tena ndio kilichomzimishaHuyu jamaa sijui alipatwa na nini alipaa akazima ghafla yaani huyu ndio alikuaga ana trend kama diamond kipindi kile yani wadau kuna anaejua alipatwa na nini?
Baby, ulikuwa wapi lakini? Leo hii nilikuwa nafikiria kukufuata kwakoMnh!!! Yaani nimepotea wiki 2 tu tayari nishaibiwa!!
sasa mbona hujibu sms switt hat?? nitumie bs acc no yako ya bank nikamilishe muamalaMbona sijafunga mpenzi
Huyu jamaa sijui alipatwa na nini alipaa akazima ghafla yaani huyu ndio alikuaga ana trend kama diamond kipindi kile yani wadau kuna anaejua alipatwa na nini?