Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Aisee umeongea ujinga mkubwa wa kufungulia mwaka. By the way. Ada mnalipa bei gan mkuu
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.

Hiyo ndo vizuri vijana wajifunze na kujitegemea

Kuna kijana kaenda Marian boys, karudi amekonda kimebaki kichwa tu.

Alikuwa bonge nyanya, now kanyooka swafi kabisa.
 
Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100%
Kama unataka asafishiwe mpk vyupi vyake huyo mwanao uliyetelekezewa na unamlea kama yai mpeleke Feza Schools wanakolipa ada milioni 10 na kuendelea.

Siyo hivyo visenti unavyolipa hapo Marian . By the way umelazimishwa kumpeleka mtoto wako Marian? Hukuziona shule za kwenye kata yako hapo??
 
Zamani majengo yalikuwa kama mabanda ya kuku yaliyojengwa na matofali na kuezekwa na bati. sasa kuna maghorofa...nenda Boys hata girls...nimesomesha watoto wangu 3 pale chekechea mpaka form six wote. napafahamu vizuri!
Yap hayo mabanda ndio nilikuwa nayajua mm kama pamebadilika basi 👍
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.
Ada ya huko bei gan? Mbona hamsemi? Ninavyofahamu mm shule nyingi ada zake hazivuki 4M. Sasa hiyo 4M ndiyo ulitaka ulishwe kama upo hotelini? Unajua Kuna Kodi na tozo kiasi gani kwenye haya mashule?

Umewahi kumiliki hata chekechea wewe?

Kama vipi ungeenda kusoma Feza Schools ambako ada inaanzia 10M na kuendelea ndiyo ungefaidi.
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.
Mnatakiwa mpewe balanced diet, nyama kidogo, samaki, maharage bila kusahau mboga za majani na matunda......nyinyi ni watoto bado mnakua mwili na ubongo, lishe si jambo la kuchukulia poa. Wanaweza kujikuta wanatumia msuli mkubwa sana kuwafanya watoto waelewe kumbe wamefeli wenyewe kwenye kutoa lishe sahihi.​
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.

Bila shaka ndiyo hoja iliyoletwa. Unapolipa ada kubwa ni pamoja na hudumu nyingine kuboreshwa.

Skills za maisha hakuna asiyeta mtoto azipate, kama shule iwe na utaratibu wa kuwajengea uwezo wanafunzi.
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.

Japan watoto wa primary wanasafisha vyoo vyao. Sembuse marian watoto wa sekondari
 
Ndo shule za shirika la holy ghost fathers zilivyo, nimesoma mojawapo. Wanahamasisha sana kwenye kujitegemea nakumbuka kuna kipindi tulikua hadi tunamenya ndizi...

Hawadekezi mkuu niliposoma kulikua na viziwi nao walikua wanapigishwa kazi kama kawaida

Kwenye chakula sawa maarage kwa sana, ila sio kibaya kama cha kayumba aisee, wewe unachukia tu maharage. Halafu unashiba, usiposhiba unaenda kwa father lazima ushibe...
Hii ya bagamoyo Binti wa ndugu yangu form 3 kusonga ugali hajui🙌
 
Ada ya huko bei gan? Mbona hamsemi? Ninavyofahamu mm shule nyingi ada zake hazivuki 4M. Sasa hiyo 4M ndiyo ulitaka ulishwe kama upo hotelini? Unajua Kuna Kodi na tozo kiasi gani kwenye haya mashule?

Umewahi kumiliki hata chekechea wewe?

Kama vipi ungeenda kusoma Feza Schools ambako ada inaanzia 10M na kuendelea ndiyo ungefaidi.
 
Back
Top Bottom