Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Ulitaka shule ikupatie nini? Alipeleka mtoto shule ili akanye?

Ulitaka huko shule watoto walishwe Pizza?

Inabidi kama wazazi mukae na uongozi wa shule kuwasisitiza wawasimamie wanafunzi wao kuhakikisha wanafanya usafi

Upo comfortable kabisa mtoto wako asifundishwe kusafisha choo anachikitumia?
Upo very local and primitive. Kwasababu wakati unasoma ulibeba jembe ,fagio na ndoo ya maji ndio unataka na mwanao abebe. Muda mwingine acheni mawazo ya kimasikinimasikini
 
Upo very local and primitive. Kwasababu wakati unasoma ulibeba jembe ,fagio na ndoo ya maji ndio unataka na mwanao abebe. Muda mwingine acheni mawazo ya kimasikinimasikini
Yaani kumjengea mtoto uweze wa kujifanyia mambo ya msingi ndiyo unaita local and primitive?...no wonder ninyi vijana siku hizi mnazidi kuwa mashoga kwa wingi huku mkiona ndiyo ujanja na usasa na ushua.
 
Africa kazi sanaaaaa, yaani wanafunzi kusafisha vyoo vyao leo ni tatizo? Baadae mje mlalamike watoto hawapewi skills za maisha,😂😂😂 Btw, najua wewe umetumwa na washindani wao wa kibiashara tu
Jamaa jinga kabsaa, linataka mtoto baadae awe mtu wa namna gani, ndio hayo baada ya kupata kazi yananenepeana mpaka ushindwa kuelewa huyu ni binadamu wa namna gani, hata jkt hawezi kwenda.
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.
Ulikuwa unalip sh? Kwa mwaka?
 
Yaani kumjengea mtoto uweze wa kujifanyia mambo ya msingi ndiyo unaita local and primitive?...no wonder ninyi vijana siku hizi mnazidi kuwa mashoga kwa wingi huku mkiona ndiyo ujanja na usasa na ushua.
Wewe waache watoto wako wasome kwa mituringa kama wewe. Wengine tulishatoka huko. Maana mnachoamini kupata shida ndio akili ya mafanikio.
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Marian schools ada zao hazizidi hata milioni 4.

Ni shule ya gharama nafuu ila inachukua wanafunzi wenye uwezo mkubwa.
 
Tukuite mpumbavu tu wewe,yaani kwa hizo hela mnazolipa kama ada ndio mnataka watoto wenu wadekezwe???
Tanzania tuna mawazo finyu sana. Mtoto usipomlea kwa ''mkono wa chuma'' unaonekana kama hujui kulea. Mtoto ni lazima apewe kazi ngumu, agombezwe na kuwekewa masharti makali makali. Kila shule ina utaratibu wake kulingana na ada wanayolipa wazazi. Kuna shule wanajumlisha fedha za usafi kwenye ada ili watoto wazingatie masomo. Wewe bado una zile mila za kizamani za kulimisha watoto.
 
Back
Top Bottom