Marekebisho ya hotuba ya upinzani kuhusu CUF na ushoga haya hapa

cuf kinashabikia ushoga na wanakamatwa kwa mambo ya ugaidi mtwara...tendwa futa hiki chama
 
mbona huwasemi Chadema chenye uhusiano na Conservative cha Uingereza ambacho Waziri wake Mkuu David Cameroon anawapa msaada wa fedha kwa sharti la kuunga mkono sera yake ya kutetea mashoga? Nyani haoni kundule!

kundule wapi bana cuf ni mashoga
 
mbona huwasemi Chadema chenye uhusiano na Conservative cha Uingereza ambacho Waziri wake Mkuu David Cameroon anawapa msaada wa fedha kwa sharti la kuunga mkono sera yake ya kutetea mashoga? Nyani haoni kundule!

Mod mbona unamlea Serukamba hapa????????????????/
 
CUF ni chama cha Haki Sawa kwa Wote.

Haki sawa kwa wote inajumuisha watu wote wakiwemo gays, wasagaji, wasagwaji, nk.

Vingenevyo waseme wanakuwa na maana gani wanapose haki sawa kwa wote?


Mkuu hivi yule Mbunge wa kike anayetuhumiwa kujihusisha na vitendo vya kisagaji anatoka chama gani vile???
 
Mkuu hivi yule Mbunge wa kike anayetuhumiwa kujihusisha na vitendo vya kisagaji anatoka chama gani vile???
Acha kulialia na kutoa mapovu hapa, jibu hoja.
Liberal wanatambua na kutetea haki za mashoga.
CUF inafuata itikadi za Liberal.
Je CUF ni mabwabwa?
 
hi hutumba haiwezi kumsaidia mtanganyika wa kawaida mwenye matatizo ya maji elimu njaa na umasikini

watu wakitowa hutumba ikiwa za upinzani au za chama tawala lazima ziwanufaishe watanganyika wazanzibar na tanzania

huwezi kuwa mpinzani halafu ukawa unamsakama mpizani mwezako ambae hajawahi kushika dola na kumsababishia mtanganyika njaa kuishi katika nyumba za nyasi na kusafiri na barabara za vumbi ,mfumo mbovu wa elimu na matatizo ya kila aina

kwani kushirikiana na shoga kuna tatizo gani? ikiwa cuf hawaja hubiri sera za ushoga kwenye sera zao au kupigania sera za mashoga katika katiba mpya

kuna ubaya gani kushiriana na mgonjwa wa ukimwi wakati hakuambukizi wala hakufanyii ubaya si munakaa nao wagonjwa si munaishi nao

yawezekana ikawa mbaya wa chadema yumo ndani ya chadema

fikiria kabla ya kuzungumzakile unacho kizungumza ,na zungumza kwa kile ulichokifikiria kukuzungumza
subiri washike dola watakavyo kutigo, chezea cuf wewe? Tunamshukuru mola kwa kutuangazia juu ya chama hiki, mara udini, mara usagaji na ushoga! Watanganyika tuwe makini na watu hawa, tuwaogope kama ukoma!
 
Cdm baada ya kuiwashia moto serikali na kuibana wao wanatuletea usoga na cuf,nini maana yakuongoza upinzani bungeni ??? Ndio shida ya watz!!!
 
Nilipokuwa naangalia malumbano ya jazba ya wale wakuda sikuelewa vizuri, baada ya kusoma nyaraka hizi nimewadharau kinoma! Kama kweli ninyi ni marafiki na wasagaji na mashoga mnanusurikaje na sera hizo za kishoga a kisagaji? Mnalo hilo! Jipangeni muwatake radhi wanchama wenu kwa kuwaingiza katika kuushabikia na kuunga mkono ushoga!
 
Duh! Bahati yako kwa vile unaichangia JF lakini kinyume na hivyo mods wangekupiga ban!

Kwani uongo? Kanusheni kwamba hamna uhusiano na vyama vya kiliberali, na kannusheni kupokea miasaada kutoka katika vyama hivyo! Vinginevyo haifutwi kauli na shurti isomwe! Hongera CDM kutufungua mimacho!
 
Tatizo ni uelewa na ufahamu finyu wa wabunge wa CUF. Wameungwa mkono na kiongozi wa kikao cha Bunge cha leo Bwana Job Ndugai aliyeamua kuzikanyaga kwa makusudi kanuni za Bunge kwa kuwaruhusu wabunge wa CUF wafanye fujo/vurugu ndani ya bunge!!.

Ni wazi kuwa hawa jamaa wanajijua tu kuwa ni wabunge wa chama cha CUF lakini hawakielewi chama chao, hawaelewi itikadi ya chama chao!!!

Julius Mtatiro, Lipumba na Seif Sharif Hamad hebu wapelekeni shule wabunge wenu hasa wale wanaotoka Zanzibar ni chanzo cha tatizo lililotokea leo......They were just making noise kwa jambo wasilolielewa vyema!!
 
Kwani uongo? Kanusheni kwamba hamna uhusiano na vyama vya kiliberali, na kannusheni kupokea miasaada kutoka katika vyama hivyo! Vinginevyo haifutwi kauli na shurti isomwe! Hongera CDM kutufungua mimacho!

Mkuu watu wanaweza kuja na hoja kwamba CUF inapakwa matope tu lakini CDM ndio beneficiary wa biashara ya ushoga.

Kivipi?:

Mh Mbowe anamiliki Club kubwa ya starehe pale Billicanaz ambayo miongoni mwa mambo inayoyaanya ni ulevi na ngoma hadi usiku wa manane. Yaani anatoa venue kwa ajili ya kufanyia maasi ikiwemo ushoga.

Kwa vile Mbowe amekuwa pia akiifadhili CDM kutokana na mapato hayo, you have two options:

1) Msizipokee kwani huenda zikawa zinachangiwa pia na mashoga na wahasharati

2) Mshaurini mwenyekiti wenu ajitoe kwenye biashara hizi za vilabu kwani ni kichocheo cha maasi kama zinaa na ushoga
 
Back
Top Bottom