Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
[QUOTE=Dar Es Salaam;Loliondo iko wapi? Uarabuni? wamepewa kivipi? au wamewekeza na wanalipia kodi zote zinazohusu uwekezaji? hebu fafanuwa.
Hakuna uwekezaji hapo kuna uwezekaji. Hao Arabs wanatumia ardhi ya vijiji bila kua na makubaliano (kwa njia ya mikataba) na serikali za vijiji. Kuna uwekezaji hapo au dhuluma? Sasa watalipiaje kodi ilhali hawana mikataba na vijiji husika?! Serikali kuu ndo inahusika katika uporaji wa ardhi ya Loliondo kwani imeingilia ardhi ya vijiji kwa mabavu na kuwapa waarabu!
Hakuna uwekezaji hapo kuna uwezekaji. Hao Arabs wanatumia ardhi ya vijiji bila kua na makubaliano (kwa njia ya mikataba) na serikali za vijiji. Kuna uwekezaji hapo au dhuluma? Sasa watalipiaje kodi ilhali hawana mikataba na vijiji husika?! Serikali kuu ndo inahusika katika uporaji wa ardhi ya Loliondo kwani imeingilia ardhi ya vijiji kwa mabavu na kuwapa waarabu!