Padre aliwaomba waamini mchango kujenga ukuta kuzunguka eneo la makaburi. Mlevi mmoja akauliza, "Baba paroko kwani kuna marehemu yeyote aliyewahi kutoroka?"
"Hapana." Paroko akajibu.
Mlevi, "Sasa ukuta wa nini?"
Padre aliwaomba waamini mchango kujenga ukuta kuzunguka eneo la makaburi. Mlevi mmoja akauliza, "Baba paroko kwani kuna marehemu yeyote aliyewahi kutoroka?"
"Hapana." Paroko akajibu.
Mlevi, "Sasa ukuta wa nini?"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.