marehemu watoro

Gurta

JF-Expert Member
Sep 17, 2010
2,235
530
Padre aliwaomba waamini mchango kujenga ukuta kuzunguka eneo la makaburi. Mlevi mmoja akauliza, "Baba paroko kwani kuna marehemu yeyote aliyewahi kutoroka?"
"Hapana." Paroko akajibu.
Mlevi, "Sasa ukuta wa nini?"
 
Padre aliwaomba waamini mchango kujenga ukuta kuzunguka eneo la makaburi. Mlevi mmoja akauliza, "Baba paroko kwani kuna marehemu yeyote aliyewahi kutoroka?"
"Hapana." Paroko akajibu.
Mlevi, "Sasa ukuta wa nini?"

ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom