Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,718
- 218,266
Martin Maranja Masese , Mwanasiasa chipukizi kutoka Kanda ya Serengeti , ama kiboko ya mitandao au waweza kumwita MFICHUA PGO , hasa baada ya kusimama kidete na kurusha dunia nzima kesi ya Ugaidi wa uongo aliyobambikiwa Mwamba wa siasa za Tanzania , Freeman Mbowe , kiasi cha KUGUNDULIKA KWAMBA AFISA WA POLISI ACP KINGAI KUMBE HAJUI LOLOTE KUHUSU PGO , ambao ndio mwongozo wa Jeshi la Polisi Tanzania , Kesho atatikisa tena dunia atakapokuwa kwenye kipindi kinachoitwa Medani za siasa huko STAR TV .
Ni Jumamosi tarehe 03/09/2022 , saa 3 unusu usiku , kwa saa za Tanzania , Hapa sasa ndio utaelewa Tofauti ya BAVICHA na UVCCM
Wote Mnakaribishwa .
Ni Jumamosi tarehe 03/09/2022 , saa 3 unusu usiku , kwa saa za Tanzania , Hapa sasa ndio utaelewa Tofauti ya BAVICHA na UVCCM
Wote Mnakaribishwa .