Mara ya mwisho uliona lini ......!!!?

Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.

Mwambie Mkwere aitishe mkutano bila kuwasomba na malori toka vijijini kama atapata umati wa namna hii. Kama akipata basi haki ya CHADEMA shahidi JF ntakupa 1M bureeee!
 
Kuwa makini na hali ya maisha na umaarufu wa watu: Malizi methali hizi...Ngoma ikilia sana.......................; Ivumayo................................
 
sasa ndio nini wakati wenzetu wamechukua madaraka wingi wa watu sio kuchaguliwa wabongo njaa ndio homa yetu sio utekelezaji
chdema hoye midomoni sio ktk kura just 2015 slaa in da house
Conquest- wazee out vijana in:hand:
 
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.

Nakupinga wingi wa watu matters a lot hasa kwa hali ya sasa ya tz, kwa taarifa yako dr slaa ni kichwa kila anayemsikiliza na mwenye akili timamu lazima atulie unless kwa vilaza.
 
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.

Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!

Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.

comment yako inaonyesha km unapumuliwa kisogoni hivyo huoni husikii unahisi raha tuuuuuuu:usa2:
 
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.

Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!

Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.

Elimu hadi chuo kikuu - bure, matibabu - bure, pita mitaani hukuti hata Matonya mmoja....
....Utendaji ZERO? Lahaula walakwata.!!!!!!!!:A S 13::A S 13::A S 13:
 
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.

Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!

Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.

Sio kosa lako ndugu,pole kwa kushindwa kutambua ukweli,hata Yesu alipokuja kuukomboa ulimwengu wapo walio mkubali na kumpinga hivyo sishangai kwa ww kuamua kupingana na ukweli.DR SLAA ni noma endelea na mapambano mpaka watanzania tutakapokombolewa.
 
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.


sasa mbona hawaendi kwa kikwete kusikiliza kama walivyoenda hapo? ccm bye bye
 
Dah nyomi kubwa...kuna mtu mwenye picha ya best yake aweke tuone kama...anaweza kusogelea?
 
Mwanasiasa gani Tanzania anayeweza kuvutia umati mkubwa namna hii bila watu hao kuhongwa? Mimi nakumbuka nilikuwa Jamhuri stadium Dodoma mwaka 1989 au 1990 Nyerere akiagwa alipoamua kuachia uenyekiti wa chama na wakati alipohutubia baada ya Madiba kutoka gerezani. Sijaona nyingine tena kama hii.

71598_457101522471_823957471_5395767_2365798_n.jpg
Omugabo hii chikokoooooo!
 
MUngu Ibariki Tanzania, Mungu Bariki CHADEMA na wote wenye mapenzi mema kwa Nchi yetu inayoliwa na wezi Serikalini
 
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.

Thread inauliza MARA YA MWISHO ULIONA LINI.....???? sasa haya maneno yanakujaje wewe mtoto wa kike, Nenda LOLIONDO ukakeketwe.
 
Hiyo inaonyesha wananchi wamechoka wanataka mabadiliko, si kwa CCM tu bali hata kwa chama chochote kingine kitakachoshika hatamu. Ki ujumla tumechoka tunahitaji badadiliko tena ya kivitendo, sio kila siku watu wanabuni, misemo. hali mpya..........??????????
 
Back
Top Bottom