Mara Rais anafuata Ilani ya Chadema mara anafanya makosa! Vipi?

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Mnaojiita UKAWA kama kweli upo au umeshageuka UKIWA, mnashangaza sana. Mwanzo mlisema Rais DR MAGUFULI anafuata Ilani ya CHADEMA. Wakati wa Bomoa Bomoa mnasema ni ILANI YA CCM na Mbunge wenu wa Kinondoni anakwenda Mahakamani kupinga utekelezaji wa 'ILANI YA CHAMA CHAKE'. Vipi ninyi mbona mnababaisha?????
 
UKAWA wamepata ganzi! Hawana cha kusema sasa hivi. Sera yao ya kupinga ufisadi ilipoisha hawana msamiati mwingine tena zaidi ya kukosoa kila kitu kinachofanywa na serikali!
 
Back
Top Bottom