The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
Ukisikiliza watu weengi wanavyowazungumzia wazazi wao
ni nadra sana kusikia wakizungumza in a negative way
mara nyingi utakuta wanawasifia sana wazazi wao
hata kwa vitu ambavyo hao wazazi walikuwa wrong
mfano watu husifia ukali wa wazazi wao hata kama ukali huo ulikuwa unakuja
na negative side nyiingi mfano abuses na kadhalika....
utakuta mtu 'anawapiga wanae kipigo cha mbwa mwizi'
huku akisumulia jinsi yeye alivyokuwa anapigwa na wazazi wake zamani alivyokuwa mdogo
au mama anatukana watoto 'matusi ya nguoni' na ya kuumiza
ukifatilia utakuta sijui shangazi fulani alikuwa hivyo au bibi alikuwa hivyo...
in short kuna 'urithi' wa vizazi na vizazi wa mambo fulani ambayo watu huwa
wana kawaida ya 'kujisfia' navyo kama sifa hivi....
utasikia mtu akisema 'mimi baba yangu alikuwa hakubali upuuzi huu'
kwa kitu ambacho pengine yuko wrong lakini amelelewa kuamini ni sahihi na yeye
anaendelea nacho kwenye familia yake......
sasa leo ningependa tujadii haya......
umewahi kujiuliza kuhusu mapungufu ya wazazi wako?
umewahi kujitazama na kuona kwa jinsi gani 'umerithi' mapungufu hayo?
unaamini 'principles za wazazi wako kama zilivyo'?
au uko tofauti kiasi gani na wazazi wako?
je mkeo/mumeo amerithi nini hasa kutoka kwa wazazi wake ambayo unatamani asingerithi?
je watoto wako una wa instill principles zako au unawaacha wa develop 'personality zao wenyewe?
what if uko wrong?
ni nadra sana kusikia wakizungumza in a negative way
mara nyingi utakuta wanawasifia sana wazazi wao
hata kwa vitu ambavyo hao wazazi walikuwa wrong
mfano watu husifia ukali wa wazazi wao hata kama ukali huo ulikuwa unakuja
na negative side nyiingi mfano abuses na kadhalika....
utakuta mtu 'anawapiga wanae kipigo cha mbwa mwizi'
huku akisumulia jinsi yeye alivyokuwa anapigwa na wazazi wake zamani alivyokuwa mdogo
au mama anatukana watoto 'matusi ya nguoni' na ya kuumiza
ukifatilia utakuta sijui shangazi fulani alikuwa hivyo au bibi alikuwa hivyo...
in short kuna 'urithi' wa vizazi na vizazi wa mambo fulani ambayo watu huwa
wana kawaida ya 'kujisfia' navyo kama sifa hivi....
utasikia mtu akisema 'mimi baba yangu alikuwa hakubali upuuzi huu'
kwa kitu ambacho pengine yuko wrong lakini amelelewa kuamini ni sahihi na yeye
anaendelea nacho kwenye familia yake......
sasa leo ningependa tujadii haya......
umewahi kujiuliza kuhusu mapungufu ya wazazi wako?
umewahi kujitazama na kuona kwa jinsi gani 'umerithi' mapungufu hayo?
unaamini 'principles za wazazi wako kama zilivyo'?
au uko tofauti kiasi gani na wazazi wako?
je mkeo/mumeo amerithi nini hasa kutoka kwa wazazi wake ambayo unatamani asingerithi?
je watoto wako una wa instill principles zako au unawaacha wa develop 'personality zao wenyewe?
what if uko wrong?